Ally Msangi
JF-Expert Member
- Jun 29, 2010
- 608
- 120
All the best dadangu ila JF wengi hawako serious
Posted via Mobile..........Need I say more?Orait orait kumbe hommie na wewe mchapaji lol!!
a ah! mi simtaki!!!:scared:
Kakakiiza ngoja nisubirie labda atanitumia PMMimi ninatoa pendekezo!!kama utakubali m-pm The finest!!anakufaa niushauri tu!!eep:
Dah.. hommie unavyopenda mteremko wewe sikuwezi...Kakakiiza ngoja nisubirie labda atanitumia PM
Hommie niko juu ya bati najaribu kugeuza antennaPosted via Mobile..........Need I say more?
Ahaa wewe unataka kunizibia nisipate mchumba,Hommie hivi Da Sophy wa usalule kakupa nini? Pole na yale matatizo g-y aliniambia janaDah.. hommie unavyopenda mteremko wewe sikuwezi...
lakini si wamuhitajiii!
Ahaa wewe unataka kunizibia nisipate mchumba,Hommie hivi Da Sophy wa usalule kakupa nini? Pole na yale matatizo g-y aliniambia jana
Okay mama yameisha ukisema mimi natiiWewe kwanini hutulii lakini si uko namba mbili? Utaniudhi sasa hivi
Okay mama yameisha ukisema mimi natii
Mimi niko 28 natafuta mume.
Awe mkristo, awe serious na maisha.
Nategemea tutasaidiana kimaisha maana nami nimesoma nina degree na niko shule nasoma masters kwa wakati huu.
Kupima afya ni first greetings na kushiriki kwenye maombi ni muhimu.
Mengine tutauzana kwa atakaye nicontact.
Aliye serious ani email at m82y2k@yahoo.com
allaah ackbar...............neema hii mimi nimekuota leo hihiii, jamani yaani ukweli https://www.jamiiforums.com/images/styles/JamiiForums/smilies/A%20S%2012.gifvile acha kabisa come baby, baby come 2me
Okay sirudii tena kabisaNa usirudie tena mwone vile kwanza
allaah ackbar...............neema hii mimi nimekuota leo hihiii, jamani yaani ukweli vile acha kabisa come baby, baby come 2me
kwanza ilooo kasema ataka kristian person then why u start with allahu akibar!!!wewe?lakini mungu kataka tuu kunidhihirishia bora nirudi kwa hashy wangu mwenyew sasa anijibu sweet words kama nin
heeee! Si atamchilimicha, wakiachana atamchilimua!
kwanza ilooo kasema ataka kristian person then why u start with allahu akibar!!!wewe?lakini mungu kataka tuu kunidhihirishia bora nirudi kwa hashy wangu mwenyew sasa anijibu sweet words kama nin
Heeee! si atamchilimicha, wakiachana atamchilimua!