SAWEBOY
JF-Expert Member
- Apr 6, 2011
- 241
- 173
WAPENDWA AKINA DADA WA JF,
Najitokeza mbele ya jukwaa hili kuu kuelezeaaa nia yangu ya dhati ya kutafuta mchumba ambaye baada ya kuwasiliana naye na kukubaliana vema basi tufunge ndoa na kuijenga familia bora.
SIFA ZA MSICHANA ANAYETAFUTWA:
1. Awe na umri kati ya miaka 18 hadi 28 .
2. Elimu kuanzia kidato cha nne (form 4) hadi PhD
3. Awe mnene au umbo la kati but sio mwembamba kivilee.
4.Dini yeyote ile but atambue kuwa sipo tayari kubadili dini ila nitaheshimu dini yake
5. Awe tayari kuishi nami ndani au nje ya nchi ya Tanzania kwa muda wote
6. Awe mtu wa kujiheshimu na yule ambaye ana nia thabiti ya kuuishi maisha ya ndoa.
7. Asiwe amewahi kuolewa au kuwa na mtoto.
SIFA ZANGU.
1. Ni mrefu wa saiz ya kati Ft.5.7
2. Elimu ya juu ya chuo kikuu
3.Kazi yangu: mwalimu nafundisha- chuo
4.Nimejipanga kimaisha
NB: Nakaribisha msichana/mwanamke yeyote mwenye sifa hizo hapo juu (basic) kama kuna mengine usisite kuwasiliana nami. Niandikie E-Mail: saweboy1980@yahoo.com au ni-PM
Asanteni, na karibuni sana.
Its, me
SAWEBOY
Najitokeza mbele ya jukwaa hili kuu kuelezeaaa nia yangu ya dhati ya kutafuta mchumba ambaye baada ya kuwasiliana naye na kukubaliana vema basi tufunge ndoa na kuijenga familia bora.
SIFA ZA MSICHANA ANAYETAFUTWA:
1. Awe na umri kati ya miaka 18 hadi 28 .
2. Elimu kuanzia kidato cha nne (form 4) hadi PhD
3. Awe mnene au umbo la kati but sio mwembamba kivilee.
4.Dini yeyote ile but atambue kuwa sipo tayari kubadili dini ila nitaheshimu dini yake
5. Awe tayari kuishi nami ndani au nje ya nchi ya Tanzania kwa muda wote
6. Awe mtu wa kujiheshimu na yule ambaye ana nia thabiti ya kuuishi maisha ya ndoa.
7. Asiwe amewahi kuolewa au kuwa na mtoto.
SIFA ZANGU.
1. Ni mrefu wa saiz ya kati Ft.5.7
2. Elimu ya juu ya chuo kikuu
3.Kazi yangu: mwalimu nafundisha- chuo
4.Nimejipanga kimaisha
NB: Nakaribisha msichana/mwanamke yeyote mwenye sifa hizo hapo juu (basic) kama kuna mengine usisite kuwasiliana nami. Niandikie E-Mail: saweboy1980@yahoo.com au ni-PM
Asanteni, na karibuni sana.
Its, me
SAWEBOY