Tajiri mpole
JF-Expert Member
- Apr 15, 2018
- 2,420
- 4,645
Mtafute Sepenga
Umechanganya ID mkuu.Mwanzo ulipo leta Uzi haukutumia hiibado natafuta wakuu
Najaribu kuges tyu, what you feel..kiukweli INAUMIZA SANA. Pole sana Mkuu, may God be with you.Mkuu acha tu,hadi naamua kuyakubali matokeo ujue I can't take it anymore.
Sutaki nijipe stress za kuzaa Tena.
Kujikubali na kukubali matokeo Yangu kutayafanya maisha Yangu yasiwe na presha ya kuzaa kutoka kwangu na jamii ndio maana natafuta ambaye yuko tayari kama mimi
Logic...You are just 25 na umekata tamaa kabisa? Watoto ni zawadi, sayansi ni endelevu. Miaka 20 ijayo utakuwa 45, umeshawaza sayansi na teknolojia itakuwa imetufikisha wapi?
Tafuta mchumba atakaekukubali katika Hali zote huku ukiwa wazi kuhusu hizo changamoto zako za kiafya. Manake unahofia kuzaa, 5 yrs to come unaweza kukatika miguu yote ama kupofuka macho.
Nakutakia maisha marefu, afya njema na furaha
sidhani kama kuna ambao hawana mbegu za kiumeKwa wale ambao hawana kabisa mbegu za kiume..plan B inakuaje?????
good adviceYou are just 25 na umekata tamaa kabisa? Watoto ni zawadi, sayansi ni endelevu. Miaka 20 ijayo utakuwa 45, umeshawaza sayansi na teknolojia itakuwa imetufikisha wapi?
Tafuta mchumba atakaekukubali katika Hali zote huku ukiwa wazi kuhusu hizo changamoto zako za kiafya. Manake unahofia kuzaa, 5 yrs to come unaweza kukatika miguu yote ama kupofuka macho.
Nakutakia maisha marefu, afya njema na furaha
Asante sanaDaaahworry out dear,, Mtoto ni zawadi and still umri wako bado mdogo so ishi Kwa imani but kwa kujua mengi ngoja nije PM
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu sanaDaaahworry out dear,, Mtoto ni zawadi and still umri wako bado mdogo so ishi Kwa imani but kwa kujua mengi ngoja nije PM
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu sanaDaaahworry out dear,, Mtoto ni zawadi and still umri wako bado mdogo so ishi Kwa imani but kwa kujua mengi ngoja nije PM
Sent using Jamii Forums mobile app