Natafuta Mchumba, awe mcha Mungu

Natafuta Mchumba, awe mcha Mungu

nifah njoo umsikie binamu huku, leo kaja kivingine kabisaaaaa!
 
Last edited by a moderator:
Rejea kichwa cha habari, natafuta mchumba, umri kuanzia miaka 16-50 , sibagui dini wala kabila, wahi nafasi ni chache..

binamu weka vizuri hili tangazo lako basi, unatafuta me au ke?? manake mwenyewe kila ukiulizwa jinsia unasema twende PM, sasa leo twambie waziwazi akina nani wakuje???
 
kwani unataka mabwana wangapi ??
 
Duh nimeishia kucheka na lazima uyo mchumba awe mcha Mungu maana tofauti na hapo hakuna rangi ataacha ona kwa uwezo wa satelite zako hawezi kua na kitu siri,nikutakie kila la heri mkuu duh teheee teheee.
 
nafasi ni chache........


sawa kila.la. kheri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom