kwani unataka mabwana wangapi ??
Umeona eh? Maana mie jobless hilo mlijue kbsa, so kama huna kazi kaa pemben kwanza
Duh nimeishia kucheka na lazima uyo mchumba awe mcha Mungu maana tofauti na hapo hakuna rangi ataacha ona kwa uwezo wa satelite zako hawezi kua na kitu siri,nikutakie kila la heri mkuu duh teheee teheee.
Rejea kichwa cha habari, natafuta mchumba, umri kuanzia miaka 16-50 , sibagui dini wala kabila, wahi nafasi ni chache..
Sasa mbona avatar ya kiume?