Natafuta mchumba ambae baadae aweza kuwa mke

Natafuta mchumba ambae baadae aweza kuwa mke

mickey drizzy

Member
Joined
Jun 19, 2015
Posts
30
Reaction score
3
habari zenu wakuu
hope mmeshinda poa

kwanza kabisa ningependa tumshukuru mungu kwa kutulinda na kutupa pumzi yake mpaka hivi sasa (wote tuseme amin)

mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23...
natafuta mwanamke ambae anaweza kuja kuwa mke wangu wa baadae
sifa- ajitambue
- asiwe msiri kupitiliza
- asiwe mdanganyifu
- awe na rangi yake ya asili

mengne tutazungumza pm..

kwa aliye serious aje PM tuzungumze

nawatakieni usiku mwema nyote

ahsanten
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom