Natafuta mchumba aliye tayari kunioa

Natafuta mchumba aliye tayari kunioa

Wasifu wako?unaishi wapi?unajishughulisha na nini? Muonekano wako?
 
Mimi ni msichana natafuta mchumba aliye na uhakika wa kunioa, sipendi uongo awe mpole mwelevu, mkristo na anipende kwa dhat, ninamiaka 23, mwenye hakika na hili anitafute0786730005

Biashara matangazo bi dada na tangazo zuri lavutia wateja. Hebu jieleze vizuri na sifa na unayemtaka. Angalizo:: siku hizi goli kipa hatakiwi!!
 
utaolewa na jini mwaya omba Mungu akupe nchumba hata kama mmakonde sio huku
 
weka picha yako mama si unajua hapa reception nayo muhimu kuijua. Ila kumbuka mume wa dhati hapatikani kwa njia hii bali hujileta mwenyewe.
Angalia ndoa za siku hizi a.k.a bigijii zinavyovunjika
 
kwa kuwasaidia walio serious embu elezea sababu halisi za kutaka kuolewa kwa nini uolewe ?
na usiwe sister ??
 
Utapata weng mpaka utashndwa kuchagua matokeo yake ni tuko wangapi!
 
Sawa Dada lakini ungesema unataka mume wa aina gani ili kabla ya kukupigia tujitathmini kwanza,halafu pili achia mapicha yako hapo barazani walau yanayoonesha Reception yako ilivyokaa,ili walau tushawishike mengine tukishakubaliana tutahandle huko huko!!!!
 
Mimi ni msichana natafuta mchumba aliye na uhakika wa kunioa, sipendi uongo awe mpole mwelevu, mkristo na anipende kwa dhat, ninamiaka 23, mwenye hakika na hili anitafute0786730005

Ahsante natambua umempata mtu anae kufaa ambae ni mimi
 
user-offline.png
Janerose

Today 13:21
#1
Junior Member Array


Join Date : 28th December 2012
Posts : 1

Rep Power : 0

Likes Received
0

Likes Given
0
 
Mimi ni msichana natafuta mchumba aliye na uhakika wa kunioa, sipendi uongo awe mpole mwelevu, mkristo na anipende kwa dhat, ninamiaka 23, mwenye hakika na hili anitafute0786730005



Yaani wewe Janerose umejiunga leo hapa JF na una miaka 23 na unataka mchumba wa kukuoa,are you serious???? Kirahis rahis tu hivyo???? Subiri watakuja wengi tu hapa!!!!!!
 
Mimi ni msichana natafuta mchumba aliye na uhakika wa kunioa, sipendi uongo awe mpole mwelevu, mkristo na anipende kwa dhat, ninamiaka 23, mwenye hakika na hili anitafute0786730005

Ni PM me niko siriazi!
 
Mimi ni msichana natafuta mchumba aliye na uhakika wa kunioa, sipendi uongo awe mpole mwelevu, mkristo na anipende kwa dhat, ninamiaka 23, mwenye hakika na hili anitafute0786730005

Jaribu kupata ushauri nasaha unaonekana una matatizo makubwa mno.Uliza walioolewa walifanyaje wakapata waume,wewe kote huko ulikopitia hukuweza kutengeneza mahusiano mazuri unategemea jamiiforums itakusaidia kupata mme?.Umekwisha
 
Jaribu kupata ushauri nasaha unaonekana una matatizo makubwa mno.Uliza walioolewa walifanyaje wakapata waume,wewe kote huko ulikopitia hukuweza kutengeneza mahusiano mazuri unategemea jamiiforums itakusaidia kupata mme?.Umekwisha

Mi natamani nimuone.Ila lazima litokee bonge la mgongano hapa Jf.
 
kwa kuwasaidia walio serious embu elezea sababu halisi za kutaka kuolewa kwa nini uolewe ?
na usiwe sister ??
lol. hili assignment la balaa. ila kuna point, lazima a-justify kwanini anadhani yeye kuolewa ni muhimu? Halafu aeleze nini kipya atachokifanya akiolewa, maana ka kugegedwa aishafahamu. teh teh.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom