Asante ndugu..nitajitahidi kwenda hapo Ubungo MajiNenda Maji ubungo ndio kuna wakala wa kuchimba visima,hata wafanyakazi wa hapo wana vikampuni vyao vya uchimbaji visima utawapata tu
<br />Jamani nyongeza ya swali mita 100 inafaa sana kwa maji ya muda mrefu?? kama utaamua kuchimba na je kwa mita bei gani??
mimi ninao jamaa wanaodeal na drilin' 0715999966 unaweza muuliza kuhusu uchimbaji