Nimebahatika kupata block ya kuchimba madini aina ya Tanzanite katika eneo la mererani. Eneo langu lina urefu wa mita 80 na upana wa mita 50. makaratasi yote yanayotakiwa ninayo. Natafuta mbia ili tuanze uchimbaji maana mtaji wangu umekata kutokana na urasimu wa kupata eneo. Kama kuna mtu yuko interestested tuwasiliane kwa namba 0717332349 au email audax.kamara@yahoo.com, usi pm tafadhali. Piga simu au andika email. Asante.