Kennedy
Platinum Member
- Dec 28, 2011
- 59,108
- 69,559
Hapo Sasa Watakuja Kwa Fujo Wakiona Hii CommentZinaongeza nguvu za pipe..😶
Hapo Sasa Watakuja Kwa Fujo Wakiona Hii CommentZinaongeza nguvu za pipe..😶
Wanadai inapunguza mafuta kwenye mishipa ya damu ila binafsi niliona inanisaidia kwenye mfumo wa mmeng'enyo wa chakula hasa nikipata constipation .Faida yake nini
Wanadai inapunguza mafuta kwenye mishipa ya damu ila binafsi niliona inanisaidia kwenye mfumo wa mmeng'enyo wa chakula hasa nikipata constipation .
Hapo Sasa Watakuja Kwa Fujo Wakiona Hii Comment


Hili swala n kubwa sanaUnachemsha maji unaweka kwenye kikombe cha chai ,chukua kijiko kimoja cha chai weka then unakunywa fanya hivyo asubhi na jioni kabla ya kula.Unaitumiaje?? toa maelekezo mkuu