chawa wa mama
JF-Expert Member
- Jun 8, 2020
- 292
- 1,086
Ndugu zangu natafuta mayai ya kwale ambayo yanafaa kutotolesha.
karibu mwenye taarifa yoyote
karibu mwenye taarifa yoyote
Ulikosea jina langu ndo maana sijapata taarifa.@Eiqutable nitanunua kwa elfu 15 kwa trei moja, lakini ni fertile. Yanatakiwa yale ambayo mtu amekusanya kwenye shamba lake, sio kuokoteza yaliyopita muda. Hayana ubora
Una kazi gani?Mkuu hununui na mkojo wa sungura