kama ni dada nicheki PM ukiwa na picha zakoNiajiri mimi nikuoshee, niko vizuri sana kwenye kusugua masufuria
Ukihitaji ya nguo njoo nikuuzieHabari wana Jf, nimechoshwa na kazi yakuosha vyombo kila vinapochafuka hasa baada ya kuvitumia, kwa yeyote anaejua mahali zilipo mashine hizi aniambie.
Ukihitaji ya nguo njoo nikuuzie
Hahahaha ataondoka navyo vyoteSina hela ya kukulipa halafu usije ukaiba vijiko na masufuria.