Natafuta mashine bora ya kuangua mayai

Natafuta mashine bora ya kuangua mayai

mwenyenacho

Member
Joined
Sep 23, 2013
Posts
86
Reaction score
65
Naomba kujua ni wapi naweza pata mashne bora ya kuangua mayai. Na gharama zake kulingana na idadi ya mayai.
 
YUPO RAFIKIANGU ANATENGENEZA (ANAZIUNDA) NA YEYE PIA ANATOTOLESHA NITAFUTE NIKUTUMIE NAMBA UONGEE NAE. 0784488854
 
Back
Top Bottom