Natafuta mashamba kwa ajiri ya kulima mpunga Ifakara

Natafuta mashamba kwa ajiri ya kulima mpunga Ifakara

Mimi nipo tayari kukusaidia kupata mashamba ya kulima either kwenye skimu ,au kilimo cha mvua ya mungu .je? Mimi ntafaidika aje na usumbufu utakaojitokeza pia nta kukonect na bwana shamba wazuri ninaofanya nao kazi .lama uko ni pm .nipo kilombero ifakara.
Kwenye skimu mzee gharama zikoje kwa plot,na plot INA ekari ngapi, commission yako ipo mradi nipate data za kutosha ,nimeshalima maramoja Skimu ya Kapunga Mbalali.
 
Kwa aajiri ndio kiswahili gani kwa ajili ya kilimo we VIP jifunzeni silabi rudi tena darasani
 
kwa heka 15 mkuu jipange zaidi ya milioni 4 utafanikisha zoez ,,hapo weka pembeni gharama za kuvunia na kutoa mzigo shamba

Mkuu me nipo tayari na hiyo hela ninayo je baada ya kuvuna hapo nikivuna na kuwekeza huo mpunga baada ya mda nikaja kuuza nitauza na nitapata faida ya kiasi gani also nipo mbali kidogo je kuna watu wa uwakika wanaweza kunisimamia kila kitu??
 
Mkuu me nipo tayari na hiyo hela ninayo je baada ya kuvuna hapo nikivuna na kuwekeza huo mpunga baada ya mda nikaja kuuza nitauza na nitapata faida ya kiasi gani also nipo mbali kidogo je kuna watu wa uwakika wanaweza kunisimamia kila kitu??
Ukimuweka MTU akusimamie kila kitu ni vizuri ila najua baada ya muda utatuletea mrejesho humu jf kuwa imekula kwako.we unataka kulima kwa simu?haaa
 
Ukimuweka MTU akusimamie kila kitu ni vizuri ila najua baada ya muda utatuletea mrejesho humu jf kuwa imekula kwako.we unataka kulima kwa simu?haaa
Mkuu nitakutafuta nahis kuna mengi ya kujifunza toka kwako uko vizur
 
mashamba ifakara yamekua ni challenge in terms of bei na competition inayosababishwa na uhitaji, kwa ushauri wangu nenda itete,ngombo au malinyi mkuu pia ningependa kujua una mtaji wa kiasi gani ili nikushauri vizuri
Brother huku malinyi hata mie natamani
 
mi uko kote nakupata vizuri kuanzia ruaha,msolwa,mkula,mang'ula,ifakara,lupiro,mahenge,malinyi,ngoheranga,ngombo,mwaya,itete,na kwngine koote katika izo wilaya
Uku kilimo chake ni cha kutegemea mvua au kuna mito mkuu, natamani kupafahamu zaidi
 
Uwe makini sana ndugu yangu
Warungulu niwatu wabaya sana
Mwaka 2014,waliniibia 50millioni kwenye kilimo
Na mbaya zaidi wakataka kuniua kwa waganga kwa pesa zangu mwenyewe kwenye kilimo
Nakushauri sana kuwa makini sana
Mpaka Leo sijainuka kbsa nipo chini kbsa,
 
Uwe makini sana ndugu yangu
Warungulu niwatu wabaya sana
Mwaka 2014,waliniibia 50millioni kwenye kilimo
Na mbaya zaidi wakataka kuniua kwa waganga kwa pesa zangu mwenyewe kwenye kilimo
Nakushauri sana kuwa makini sana
Mpaka Leo sijainuka kbsa nipo chini kbsa,
Mkuu hembu tudadafulie kidogo ilikuaje!
Mpaka wakakuibia hizo pesa?
 
Back
Top Bottom