Natafuta Marketing Officer

Natafuta Marketing Officer

Biashara2000

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2013
Posts
624
Reaction score
548
Habari

Natafuta marketing officer atakayekuwa kazi yake ni kutafuta soko kwa ajili ya bidhaa zangu za machines tofauti tofauti. Eneo la shughuli ni Makongo juu Dar.

Sifa awe ni binti au boy wa miaka kuanzia 18 - 27 awe mwanafunzi wa chuo kwani nataka kujenga experience nae.

Kama kuna anayetaka anitafute 0758308193
 
Bado natafuta mtu. Sasa watu wengi badala ya kunieleza anachoweza nifanyia ktk biashara yangu, watu wananitumia cv zao kwa watsapp. sasa mm cv yako itanisaidia nini. Mi sihitaji cv yako nahitaji nijue una uwezo wa shawishi vipi wafu. Km umesomea marketing nadhani utakuwa umefundishwa hayo. Sasa napata wafu wamesomea mechanical, civil, nursing sasa we wa nursing na marketing wapi na wapi
 
Back
Top Bottom