Slave
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 5,314
- 2,635
- Thread starter
- #21
hahahahaa dada kwanza naomba uilejeshe avatar yako ya kijeshi jeshi haya yote wewe ndio unaenisababishia kuwa mkali MADAME B wapi jamaniSasa mbona mkali hivyo kakangu, kuwa mpole marafiki utawapata tu. Ungesema na hobbies zako manake asije akajiombesha urafiki Madame B ukawa wewe ni sheikh ama mchungaji. Utakuwa na kazi ya kumuombea tu.
atakae niogopa jua huyo si rafiki wa kweliWatakuogopa raia, hebu fafanua zaidi, rafiki wa keyboard, halisi, au yupi huyo..........
dena amsi dada yangu ukiruhusu maswali wataanza oooh! Unapenda kula nini,umeoa au kuolewa,unaingiza sh,ngapi kwa siku,mwezi au kwa mwaka nk nkDuh hiyo blue hapo mie choka kabisa umekuwa mkali hivyo mpaka nimeogopa hata kukutumia PM
uwiii jamaa yangu anataka kuniangusha tena kwa kuniswalisha swali kama hilowatu8 jamaa si alisema yeye beberu? au hujainyaka maana ya ME?
charminglady utafukuzwa nyumbani kwa kutokuwa na nidhamu ya kumuuliza dady maswali kama hayodaddy naona uzee unakujia vibaya.... hivi ile miwani yako haipo???