mbona una kihehere ntakomaa hapa hapa na ntapata tu!
mbona una kihehere ntakomaa hapa hapa na ntapata tu![MWENYE KIHEREHERE NI WEWE UNAYEVAMIA MITANDAO UKIDHANI NI YOTE IKO HIVYO. SANA SANA HAPA WATU WATAKUCHORA TU HEBU NIAMBIE KUNA HAJA GANI YA KUWA NA RAFIKI AMBAYE HAMJAWAHI KUKUTANA HATA SIKU MOJA. ARE YOU GREAT THINK?
hiki ndio kilichokufanya ujiunge huku JF its better go faceboo there ull get them here only great thinkers huku hamna hii makitu :busu:busuI am a man here i am looking only friendship,jaman mi natafuta marafiki wa kubadilishana nao mawazo,aliye taya ani PM.
Hebu tutunge sentensi kwa kutumia neno Chipolo...Daaaah chibolo
Hebu tutunge sentensi kwa kutumia neno Chipolo...
1. Chibolo chifupi chinaning'inia...
2. Chipolo chake chimefichwa...
Kwani jina langu lina shida gani? Wanajamvi naomben mnisaidie make naona akina Ruta wanabeza sana.
I am a man here i am looking only friendship,jaman mi natafuta marafiki wa kubadilishana nao mawazo,aliye taya ani PM.
limefanana na yule steringi wa kichina aliyekuwa kiboko wa Van Damme...