Umeanza kujifanya mkenya lini bwashee?Kuna id unajiuliza huyu mwamba ako ok kwa kichwa kwel?, hata kama hatujuani ila hapana kwa kweli.
id imenichanganya mnamaUmeanza kujifanya mkenya lini bwashee?
Mnama unataka kutoroka kambi 😅id imenichanganya mnama
Mnama hii kambi nipo mpaka kifo, hakuna cha kunihamishaMnama unataka kutoroka kambi
Ha ha ha ha wewe ni Gasho? ila hata kama ni kutumia majina fake wewe umezidi aisee Mpenda kufukuliwa Nusratt na Mshangazi dot com njooni mshuhudie vituko vy JFNatafuta marafiki aliye tayari tuwasiliane pm.
Wakikupa 7000 kwa siku lazima uhamie mnama nawajua wakwetu 🤣🤣Mnama hii kambi nipo mpaka kifo, hakuna cha kunihamisia
nihamie wapi mnama? chaumma au fisiemu?Wakikupa 7000 kwa siku lazima uhamie mnama nawajua wakwetu
Kuchukua pesa sijakataza mnama ila moyo ubaki chadema na mimi ndicho ninachofanya ,sijawahi kuacha pesa za wajinga.nihamie wapi mnama? chaumma au fisiemu?
kuna siku walikuja home wakaniambia wanandikisha wanachama wapya wa fisiemu, nikawauliza, kuna hela, wakajbu kadi tunakupa bure, nikajbu kama ni kad ninayo ya cdm, waliondoka bila kuagaKuchukua pesa sijakataza mnama ila moyo ubaki chadema na mimi ndicho ninachofanya ,sijawahi kuacha pesa za wajinga.