una hzo sifa? ok ntaku-PMnjoo tuchat.
unataka wa kike tu? hupendi kupata na washkaji wa kiume wa kushare ideas za maisha?
weka pich, wengine tuna imani ya Tomaso.....mpaka Tutomase
ungeandika wanawake na wanaume we umeweka bintz tu fb wapo weng tu nenda kauze sura huko.
hi Jf members, hope u r all ok. natafuta marafik wa kike wa kuchat nao na kubadilishana mawazo,awe anasoma kuanzia form 5 mpka university first year,miaka 18-22,awe mstaarabu.
Nenda feisibuku bana ala!
Kwa hyo mkuu,we umevutiwa kuchat na mademu 2?
jaman mbona mi npo ila kuchat tu terms n conditions applies
unatafuta marafiki unatafuta mademu.acha kutuzuga ww.peleka pia ktk magazeti ya shigongo.
hi Jf members, hope u r all ok. natafuta marafik wa kike wa kuchat nao na kubadilishana mawazo,awe anasoma kuanzia form 5 mpka university first year,miaka 18-22,awe mstaarabu.
Unataka kuwafanya nini watoto wakike wewe?
Mapenzi yanarun dunia!
acha ubishi ndugu humu si wote ni marafiki ndo mana tunapeana ushauri ktk mambo mbalimbali,ila kama hulitambui hilo nenda face1000 kule ndo kuna friends request na c hap jf.