heshima mbele to all JF members,natafuta marafiki wa kike wa kuchat kwa ajili ya kubadilishana mawazo,umri 18-22,for more info ni PM.
huo ni mtizamo wako dogoUnachotafuta ni zaidi ya urafiki dogo, u just be open bana, afu huku hoja zako ndizo zitakupatia marafiki, kama ni marafiki wa kutafuta kwa namna hiyo nakushauri rudi kule kwenye fasibuku utakutana na teenagers wengi tu huku watu utapata mmoja mmoja sana kwa umri chaguo lako labda uongeze hadi kwenye 45 kama kweli ni kwa maana halisi ya rafiki! Au nenda Meet New People on Badoo, Make Friends, Chat, Flirt huko pia kuna watoto lakini sijui kama utawaweza labda na wewe ni kama wao!
Hahahahasema unatafuta gals wakuwatafuna,kwani huwezi chat na boyz?
Hahahaha
Teh Teh, we haujapenda? Mchumia tumbo kanifurahishaNaona umefurahi, unapenda eee????