Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,477
manengelo niPM sister i too... nna uzoefu kiasi fulani na hiyo biashara lakini iko based na dhahabu ya vumbi namaanisha ile ambayo inasagwa kwanza kisha inaoshwa mwaloni halafu marudio yanasubirishwa kwaajili ya kupelekwa plant... karibu tubadilishane uzoefu..
manengelo niPM sister i too... nna uzoefu kiasi fulani na hiyo biashara lakini iko based na dhahabu ya vumbi namaanisha ile ambayo inasagwa kwanza kisha inaoshwa mwaloni halafu marudio yanasubirishwa kwaajili ya kupelekwa plant... karibu tubadilishane uzoefu..
Hivi kuna jinsia zaidi ya kike au ya kiume?! Ujumbe uko sawa ila sikujua maana us kuweka jinsia, uliishasema wafanyabiashara au wapo wasio na jinsia?!
Aiseee...
Tunao fuga kitimoto hatutakiwi hapa...
Mtafte mrangiMimi ni mwanamke mjasiriamali.
Nimewaza na Nimeamua kutafuta marafiki wafanyabiashara hasa ya madini ili tupeane uzoefu na tekniks za kuhusu hii biashara (how to handle the game).
Iwe ni kota au anamiliki eneo la uchimbaji au awe ana mwalo nitafurahi pia..!
Mimi pia niko kwenye biashara hii
ya madini.
Nahitaji aliye serious tusaidiane na kubadilishana mawazo pia...iwe mwanamke au mwanamume!
Guda guda sana wala usijali watakuja sana . Wako watakao kuwa seriously haswa.
Poapoa.Wale vjana ambao husema wao "wanatema" madini wakomenti hapahapa?Jus' kiiiiiiiiding!