kiben10
JF-Expert Member
- Apr 28, 2018
- 616
- 789
Madali na wasio madalali naomba mnisaidie kunitafutia mahali pa kupanga hapa jiji Dar maeneo tajwa hapo juu. Bei iwe kuanzia 15-20 ila umeme uwepo pia...
Mwenye kujua basi anifate PM nitaongea nae na kupata vzr, kwani maisha sasa yamekuwa tofauti sana na Ki Ben 10.
Maeneo nimegoogle pia..
Mwenye kujua basi anifate PM nitaongea nae na kupata vzr, kwani maisha sasa yamekuwa tofauti sana na Ki Ben 10.
Maeneo nimegoogle pia..