iron woman
Senior Member
- Apr 22, 2013
- 147
- 19
Jamani naomba mnisaidie ni mafuta gani yatumike kwa nywele natural za kiafrika. Ni nyingi ila ni kavu sana.
Asante.
Asante.
Hayo nimetuma mums ila bado hayajafua dafu.Tumia mafuta ya nazi
asante nitalifanyia kazi hiloAchilia mbali mafuta
Steaming pia inaondoa ukavu katika nywele
Jaribu steaming ya mayonnaise
Ni nzuri sana
jamani naomba mnisaidie ni mafuta gani yatumike kwa nywele natural za kiafrika.
ni nyingi ila ni kavu sana
asante
nilitaka kumuambia hivoCastor oil is best..
Pm nikupe direction
Kaributhnx my dear kwa upendo na ushirikiano wako Olivia Pope