Vivac JF-Expert Member Joined Apr 12, 2015 Posts 475 Reaction score 483 Sep 21, 2015 #1 Hallow, naombeni unisaidie kuna zile machine za kusagia karanga zilizokaangwa, kwa watu wa Mwanza wanazifahamu sana. Napenda nijulishwe bei yake na zinapopatikana. Mie nipo Mwanza. Nisaidieni tafadhali.
Hallow, naombeni unisaidie kuna zile machine za kusagia karanga zilizokaangwa, kwa watu wa Mwanza wanazifahamu sana. Napenda nijulishwe bei yake na zinapopatikana. Mie nipo Mwanza. Nisaidieni tafadhali.
mamylove JF-Expert Member Joined Apr 5, 2014 Posts 1,090 Reaction score 1,783 Sep 21, 2015 #2 Nenda kwenye maduka wanayouza vyombo utazipata
Vivac JF-Expert Member Joined Apr 12, 2015 Posts 475 Reaction score 483 Sep 22, 2015 Thread starter #3 Kwa bei gan?
Nyaka-One JF-Expert Member Joined Oct 27, 2013 Posts 4,887 Reaction score 7,033 Sep 23, 2015 #4 Mkuu kama unahitaji mashine kubwa nakushauri uende SIDO hapo Mwanza naamini watakupatia msaada mkubwa sana tena kwa bei nafuu.
Mkuu kama unahitaji mashine kubwa nakushauri uende SIDO hapo Mwanza naamini watakupatia msaada mkubwa sana tena kwa bei nafuu.