habari wadau, jaman mimi nina shida ya machine ya koni yaan ice cream na pop corn ila ktk pitapita zangu cjawah bahatka kuziona dukani kwa mwenye details where i can get them na bei zake labla
habari wadau, jaman mimi nina shida ya machine ya koni yaan ice cream na pop corn ila ktk pitapita zangu cjawah bahatka kuziona dukani kwa mwenye details where i can get them na bei zake labla
Elezea na ufafanue vizuri basi ili watu wakupatie bei, eg yenye ukubwa gani? au ya kichinachina au UK, India..hayo ya Pop corn niliwahi yaona Mjini Dar sikumbuki ni wapi wala bei yake lakini ni mengi tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.