Ndugu, niko serious ndio aana nimeweka janvini ilimwenye kujua source anisaidie. I need about 200lts. mahitaji mengine yatafuatia kulingana na mafanikio ya kile nataka kufanya.Johanesburg ipo Mkuu ukihitaji na kama upo serious niamvie nifatilie kiwandani kwao bei na wanauza kuanzia kiasi gani na wewe unahitaji kiasi gani kwa kila mwezi inafika Tanzania truck lipo la kubeba hata kiasi kidogo pia ntaangalia bei ya kununua Wakenya wananunua sana hiyo kitu...
OK, great! Fuatilia tafadhali.papa 1 ok ntafatilia ntakujulisha inauzwa bei gani maana kwa 200lt ni kwa agent na si kiwandani...ntakujulisha kwa gharama za ununuzi na kusafirisha mpaka Tunduma sijajua ushuru upoje na vibali vinavyousika hapo wewe ndio ufatilie huko..
Tembelea duka lolote la Henkel watakusaidia shida yako. Kwa Arusha najua wapo ndani ya magodown ya Sido ndipo kwenye kiwanda chao na pia wana ofisi maeneo ya mjini katiNinamaanisha liquid rubber sio jelly kama unazonielekeza. Hii kitu natafuta hutumika kutengeneza rubber moulds mbalimbali kwa ajili ya ku -cast vitu mbali mabali out of say gypsum or concrete. Package yake ni in lts say 200lts, 20lts, 10lts e.t.ec. Hapo kweli baiskeli inanafasi? Hii kitu 1lt is about 15USD. Endelea kunitafutia katika mtazamo huo.