Mwenye upendo na kuthamini, mcheshi, elimu ya kawaidaa, awe na income ya kussurpot maisha (not tajiri), sichagui kabila wala rangi. Mimi ni Mkristu.
Mwenye upendo na kuthamini, mcheshi, elimu ya kawaidaa, awe na income ya kussurpot maisha (not tajiri), sichagui kabila wala rangi. Mimi ni Mkristu.
Hadi hapo nimeshamkosa mchumba,lol!
Hadi hapo nimeshamkosa mchumba,lol!
nadhani unatakiwa kumpata anayejiheshimu na kueshimu , mnayeweza kusikilizana na kuelewana ,
upendo hakuna kipimo kamili
Mbona mapema, umemkosaje tena? Kukata tamaa ni kaburi la mtafutaji, kemea!
hahahaha! Matajiri mmenyanyapaliwa.
Asante nimekupata vema
Yaani twaonewa kwa utajiri wetu...
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us
Thread starter | Title | Forum | Replies | Date |
---|---|---|---|---|
G | Natafuta life patner | Love Connect | 4 | |
M | NATAFUTA SINGLE MOTHER | Love Connect | 8 | |
![]() |
Natafuta mwenzi | Love Connect | 0 | |
L | Natafuta binti wa kumuoa | Love Connect | 4 | |
M | Natafuta mwanaume wa kunioa | Love Connect | 79 |