Natafuta leseni ya gari class D

Natafuta leseni ya gari class D

Mkuu hakuna mtu atakayejitokeza hapa kwa ajili ya hiyo issue watu hawawezi kujiweka rehani kwa mtindo huo nani atakubali kwenda kulala jela kizembe.
 
Una hamu ya kupata au kusababisha ajali
 
Habari wanajamvi,

Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu,

Nahitaji leseni ya gari daraja D haraka na upesi iwezekanavyo. Kama kuna mwenye ujuvi wa haya mambo njoo PM tuelekezane.Wale wazee wa town nahisi wamenielewa nahitaji nini na kwa njia gani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda sentro,ulizia RTO,nimemwachia leseni yako nimeshaweka picha za details zako zote.
Ila utakapoanza kuendesha gari,hakikisha unabeba Sanda na pesa elfu thelathini au zaidi ili tuweze kukununulia jeneza!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom