Makirita Amani
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 1,781
- 3,074
natafuta laptop used iwe na sifa zifuatazo, iwe SATA na speed isipungue 2GHZ, iwe katika hali nzuri, hata kama haina RAM na hard disk nitaweka mwenyewe, bei isizidi laki mbili(200,000). kwa yeyote anayeuza anitafute kwenye 0717396253.