Mkuu Kitaloo, huyu falaa achana nae, anapenda sana kushoboka, kila akiona tangazo la watu kuhitaji vitu kadhaa, hujidai anavyo lakini bei iliyowekwa ni ndogo, kuanzia magari, nyumba, viwanja, mpaka simu, acha nae mbwiga huyu, watu wameshamuweka kwenye ignore list zamani sana.