Natafuta kuku aina ya kuchi

Natafuta kuku aina ya kuchi

nkanga

Member
Joined
Sep 21, 2015
Posts
11
Reaction score
13
Habari ndugu zangu. Naitwa Mwl Madnja RF nipo Sengerema. Natafuta kuku aina ya kuchi, wale wasio na manyoya mengi, wenye mdomo mfupi sana. Pia soko lake likoje? Mwenye nao tuwasiliane kwa Whatssap kupitia 0757957925
 
1478588734979.jpg
wanapatikana Mwanza mmoja 50,000/(elfu hamsini)
kama una cash tumalize hii biashara mara moja.
 
Ndugu Majaribu Mwanza Sehemu gani.
 
Ndugu Majaribu. Niko kwenye hatua za mwisho za kukamilisha mabanda. Nitakuja Mza nipe Cell no yako.
 
jf hakunaga wanunuzi ..kuchi kampata analeta habar za mabanda khaaa
 
Hivi kuchi ana faida gani hasuwa mpaka afike bei hiyo, nakumbukua nliwaona saba saba nikawauliza swali hilo jamaa alijibu eti ahaa kuchi wana nyama sana nikamuuliza kivip maana walikiwa wanauza laki mmoja nikamuuliz ukimchinja utapata nyama kg ngapi jamaa akasema mpaka kg tatu,mmhh ina maana hata wanaofuga hawajui wanauza bei hiyo kwa sbb gani,iyo biashara naifananisha na ule mvumo wa kware ,mpaka sasa hivi sijui wamefikia wapi maaana watu mpaka walikopa kwa ajili ya kufuga kware, /onyo ogopa biashara za mlipuko.
 
Maneno ya huyo jamaa yana ukweli pia.Biashara za humu zinahitaji roho ngumu sana,kwani watu wengi wanaishi kwa kufuata mkumbo tu.
Mkuu me naitaji awo kuch 2 ata kesho tufanye biashars nipo dar
 
Habari ndugu zangu. Naitwa Mwl Madnja RF nipo Sengerema. Natafuta kuku aina ya kuchi, wale wasio na manyoya mengi, wenye mdomo mfupi sana. Pia soko lake likoje? Mwenye nao tuwasiliane kwa Whatssap kupitia 0757957925
Nicheki pm
 
Back
Top Bottom