Natafuta kiwanja moshi mjini

Natafuta kiwanja moshi mjini

Solarpanel

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2012
Posts
235
Reaction score
38
Habari wana jamvi,nimeona hapa ni mahali sahihi,kwa wenyeji wa moshi naomba mnisaidie kupata kiwanja,kwanza mnishauri mahali pazuri ni wapi,mimi apendelea zaidi mjohoroni,msaranga au bonite.nina milioni nne kamili.asanteni

madalali nipotezeeni tafadhali,nahitaji kununua bila dalali
 
Bosi huko ulikotaja kote Milioni nne hutakaa upate hata hatua tano kwa kumi. Lbda Bonite ukiwa na nane unaeza pata japo 20 kwa 30. Otherwise hiyo hela tafuta maeneo ya Uchira kwani hata Bomang'ombe kwa hyo hela kupata ni bahati
 
Kwabei hiyo utapata maeneo ya Shirimatunda au Shabaha
 
Habari wana jamvi,nimeona hapa ni mahali sahihi,kwa wenyeji wa moshi naomba mnisaidie kupata kiwanja,kwanza mnishauri mahali pazuri ni wapi,mimi apendelea zaidi mjohoroni,msaranga au bonite.nina milioni nne kamili.asanteni

madalali nipotezeeni tafadhali,nahitaji kununua bila dalali

Kiwanja njoo Arusha tunauza cha shekhe amri abed
 
Habari wana jamvi,nimeona hapa ni mahali sahihi,kwa wenyeji wa moshi naomba mnisaidie kupata kiwanja,kwanza mnishauri mahali pazuri ni wapi,mimi apendelea zaidi mjohoroni,msaranga au bonite.nina milioni nne kamili.asanteni

madalali nipotezeeni tafadhali,nahitaji kununua bila dalali

milioni nne unataka kukodi chumba au?
 
Kaka ongeza tatu utapata kwa moshi mjini iwe 7mil kwa hiyo bei huwezi pata hasa maeneo ya Kb na Msaranga ndo kabisa hupati
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom