mkuu nitafute 0657662776 kuna kiwanja kipo cha bajeti yako40,000 parefu sana hapo tunaongelea karibu 50m!!
Budget yangu haizidi 15-18m.
Mbezi Makabe/Msakuzi huhitaji?Kisiwe mbali na lami, yaani isizidi 3km.
Ukubwa usipungue 30×35 au around hapo.
Kiwe tambarare.
Pesa ipo kwenye mfuko wa shati. (Km bei itakua reasonable).
Mashamba ya kukodi yapo?Maili Moja kuna sehemu inaitwa Muheza, about 2-3 km from main road. Vipo vingi tu vya 3 to 5M, ila kuna kimoja kutokana na maelezo yako huenda kikafuaa bei ni 7.5M
Nimekupa location, fika uulizie. Kutoka mbezi ni 700/-, plus boda 1,500/-Mashamba ya kukodi yapo?
Ndio, karibuMkuu nitakucheki pia. Ipo ya ukubwa huo?
OohNimekupa location, fika uulizie. Kutoka mbezi ni 700/-, plus boda 1,500/-