Natafuta kiwanja Kibaha cha Tsh. 1m

Ukifika mlandizi kuna barabara ya kwenda maneromango siyo mwendo mrefu kutoka mlandizi. NB: mzenga ipo km 29 kutoka kibaha. Sehemu haina umeme wala maji.
Mkuu nina eneo hapo mzenga pia hicho kiwanja chako kipo sehemu gani exactly na unauza kama shamba au kiwanja?!
 
Back
Top Bottom