Natafuta kiwanja hapo Moshi

Natafuta kiwanja hapo Moshi

ceekay

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2011
Posts
413
Reaction score
156
Habari wanaJF! Nna bajeti ya mil5 - 7 natafuta kiwanja cha kujenga mkoa wa Kilimanjaro, Manispaa ya Moshi mjini, maeneo yafuatayo:
- Rau (hata Uru ya mwanzo)
- KCMC
- Soweto
- Shah Tours (hata Msaranga ya barabara)
 
Kwa maeneo hayo sijui hio bei.ngoja tusubiri waje
 
Labda ongeza ifike 10 moshi skuiz imebadilik...maeneo mazur apo ni kcm,shah tours na Soweto
 
wachaga weng tunajua thaman ya ardh hasa ya huk nyumban mosh hata kama ukipat eneo then u'r not a chaga u wnt enjoy it
then ela yako ndogo sana
 
kuna eneo lipo Majengo ni zaidi ya 20million kama upo tayari nikupe contact muwasiliane
 
Nauza eneo langu ml 15 robo eka liko kibosho road
 
Labda ongeza ifike 10 moshi skuiz imebadilik...maeneo mazur apo ni kcm,shah tours na Soweto

10mil labda iwe karibu SANA na Moshi town na pia aruhusu kulipia kwa awamu! Ndio bajeti niliyo!
 
Kuna hatua 20 kwa 45 kiboso road kiko barabarani kina maji na umeme kinafaa kwa guest house ni mil 20
 
Back
Top Bottom