DALALI MKUUWadau, natafuta kiwanja chenye sifa hizi:
1. Vipimo: 500-600 sqm
2. Location:Goba au Madale
3. Kiwanja kiwe flat na ardhi isiwe na maji maji
4. Documents ziwe clean na zimekamilika
Offer yangu ni milioni 22 mpaka 24.
Tatizo offer yake mkuu na eneo analotaka haviendani
Kwa Goba inabid awe na kiasi gani hivi ?Tatizo offer yake mkuu na eneo analotaka haviendani
Ngoja nivute kitiKwa Goba inabid awe na kiasi gani hivi ?
Mkuu Kwani SKWATA hazipo?Tatizo offer yake mkuu na eneo analotaka haviendani
Madale kiwanja kinauzwaje?kwa vigezo vyake ndio hawezi kupata kwa hela hiyo ila Goba hadi 10M unapata
Imagine maeneo ya ndanindani huko Goba Kulangwa wanauza kwa milioni 35 kiwanja cha mita 25 kwa 25,sasa pigia hesabu hayo maeneo unayohitaji wewe itakuwa bei ganiKwa Goba inabid awe na kiasi gani hivi ?
Mkuu tuongee biashara hyo mnadani kwa bajeti ya 40mNILIMTUMIA MDAU PM ILA KWA FAIDA YA WENGI
Eneo / MradiBei (TSh/m²)Bei kwa 600 m²Goba Kulangwa (Mnadani)~45,000~27 milioniMakazi Mapya ~57 milioniGoba Njia Nne (Kings)115,000~69 milioniGoba Estate (Half London)145,000~87 milioni
TSh 57 milioni ni bei ya wastani nzuri kwa viwanja vimepimwa
Bei ya chini kabisa ni TSh 27 milioni
hizo ni bei za viwanja kwa maeneo hayo
SAWAMkuu tuongee biashara hyo mnadani kwa bajeti ya 40m