Natafuta kituo cha kurisiti chenye gharama nafuu

Natafuta kituo cha kurisiti chenye gharama nafuu

Son Of Light

Member
Joined
Aug 12, 2019
Posts
40
Reaction score
10
Happy new year wana JF! Hope mko poa.

Ninatafuta kituo cha kurisiti mtihani wa kidato cha nne chenye gharama nafuu nimejaribu kufatilia kwenye hivi vituo vyenye majina makubwa hapa Dar kama BRITISH, MBEZI HIGH N.K nimeona gharama zao kama zipo juu ya uwezo wangu.

Likin naamin kuna vituo havijulikani lakini vinatoa huduma nzuri.

WENYE UZOEFU KWENYE MAMBO HAYA NA WILIO WAHI KUPITIA HUKO NAOMBENI MISADIE.

NIPO DAR
 
Nenda pale kibanda cha mkaa kimara kuna kituo kizuri sana kwanza kwa comb gani una risiti?
 
I like it, u made the right decision, siwezi kukushauri kuhusu kituo cha kuristi but ningepnda kutoa uxhauri juu ya masomo ya kuristi , nimeona hapo juu umeandka unataka kuristi PCB, totally u wrong! Do u know Y? Wapo wengi waliofanya hvyo but wengi wao walishind na mm sitaki ushindwe na uichukie shule mapema, what i need frm u, kwa ushauri wng ni kwmba ka unahitaj kuristi rist masomo yote it means ya sayansi na Arts japo cjui ufaulu wako kwa hyo masomo mengine.
 
I like it, u made the right decision,siwezi kukushauri kuhusu kituo cha kuristi but ningepnda kutoa uxhauri juu ya masomo ya kuristi , nimeona hapo juu umeandka unataka kuristi PCB , totally u wrong!!do u know Y? Wapo wengi waliofanya hvyo but wengi wao walishind na mm sitaki ushindwe na uichukie shule mapema ,, what i need frm u ,kwa ushauri wng ni kwmba ka unahitaj kuristi rist masomo yote it means ya sayansi na Arts japo cjui ufaulu wako kwa hyo masomo mengine
Thanks Bro! Kwa ushauri mzuri. Ufaulu wangu upo hivi Bio: B, Chem: C, Phy: F, Math: F, Geo: E, Kisw B, Hist: C, Eng: D, Civ: D! Vip bro kwa muono wa hayo matokeo Sinawez nikapunguz mzigo kwahayo niliyo faulu niristi niliyofeli? Hasa phy na math
 
Thanks Bro! Kwa ushauri mzuri... Ufaulu wangu upo hivi Bio: B, Chem: C, Phy: F, Math: F, Geo: E, Kisw B, Hist: C, Eng: D, Civ: D! Vip bro kwa muono wa hayo matokeo Sinawez nikapunguz mzigo kwahayo niliyo faulu niristi niliyofeli? Hasa phy na math
Kurisit Kama uko serious na kusoma..risit Kama ni mvivu utaambulie hasara...naona malengo yako ni Physics

Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
 
Thanks Bro! Kwa ushauri mzuri... Ufaulu wangu upo hivi Bio: B, Chem: C, Phy: F, Math: F, Geo: E, Kisw B, Hist: C, Eng: D, Civ: D! Vip bro kwa muono wa hayo matokeo Sinawez nikapunguz mzigo kwahayo niliyo faulu niristi niliyofeli? Hasa phy na math
Re-seat uliyofeli tu, uliyofaulu usirudie. Nakushauri pia rudia na geography ili kama PCB ikigoma uende CBG.
 
Nenda chuo
Chuo napata kozi gan hapo ya afya bila physics ndo mwish wa siku naangukia vikozi visivyo eleweka! Bora nitafute hata D ya Physics nikiweka na hizo credit za Bio na Chem kama siend advanc bas nikapoge hata clinical medicine.
 
Back
Top Bottom