Natafuta kitabu cha Hekaya za Abunuasi

Natafuta kitabu cha Hekaya za Abunuasi

Tulimumu

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2013
Posts
14,395
Reaction score
13,272
Nimewahi kukisoma kitabu tajwa hapo juu na baadae kikapotea. Nimekikumbuka sana kitabu hicho na nimekitafuta sana kwenye maduka ya vitabu sijakipata. Naomba yeyote anayejua kinakopatikana anisaidie sambamba na kile na 'Buricheka' Makali hodARI na 'safari za mfalme Guriva' Hivyo vya mwisho naweza kuwa nimekosea majina kidogo
 
Du kweli ndug yangu umenikumbusha naombeni tanzania kitabu hiki kichapishwe tena. Vip kibanga ampiga mkoloni?
 
Nimewahi kukisoma kitabu tajwa hapo juu na baadae kikapotea. Nimekikumbuka sana kitabu hicho na nimekitafuta sana kwenye maduka ya vitabu sijakipata. Naomba yeyote anayejua kinakopatikana anisaidie sambamba na kile na 'Buricheka' Makali hodARI na 'safari za mfalme Guriva' Hivyo vya mwisho naweza kuwa nimekosea majina kidogo
Licha ya kwamba mimi ni msomaji hodari wa vitabu lakini cha ''Buricheka'' sikuwahi kukisoma , hata cha ''safari za mfalme Guriva'' sikuwahi pia kukiona kama utapata bahati basi naomba unijulishe, labda kitabu cha someni kwa furaha
humo nilikutana na Mfalme Bulicheka na pia niliwahi kusoma kitabu cha Safari za Guliver, kwa hiyo ombi langu kwako ukipata Buricheka na Mfalme Guriva naomba unujilishe,
 
Nahisi sirikali ilishavichoma vyote! Eti vilikua vinafundisha ujeuri, Mi nilishavifuata mpaka makitaba ya taifa nikaambiwa hawanaga vitabu vinavyopotosha umma!
 
Utafungwa wewe ukikutwa navyo hvo vitabu..nilikuwa na kitabu cha hekaya za abunuasi hadi mwaka uliopita,watu wengi walikuwa wakikiazima,mwisho wa siku nilifuatwa na wale ndugu zetu wa kung'oana kucha wakakichukua.
 
Mi pia navitafuta sana,nimeweza kupata 2 cha AFLU-LELA-ULELA,
 
Nimewahi kukisoma kitabu tajwa hapo juu na baadae kikapotea. Nimekikumbuka sana kitabu hicho na nimekitafuta sana kwenye maduka ya vitabu sijakipata. Naomba yeyote anayejua kinakopatikana anisaidie sambamba na kile na 'Buricheka' Makali hodARI na 'safari za mfalme Guriva' Hivyo vya mwisho naweza kuwa nimekosea majina kidogo

Kitabu cha Hekaya Za Abunwasi kinauzwa Kenya. Hivo vingine sijui viko wapi.
 
Licha ya kwamba mimi ni msomaji hodari wa vitabu lakini cha ''Buricheka'' sikuwahi kukisoma , hata cha ''safari za mfalme Guriva'' sikuwahi pia kukiona kama utapata bahati basi naomba unijulishe, labda kitabu cha someni kwa furaha
humo nilikutana na Mfalme Bulicheka na pia niliwahi kusoma kitabu cha Safari za Guliver, kwa hiyo ombi langu kwako ukipata Buricheka na Mfalme Guriva naomba unujilishe,
Hivi nilivisoma nikiwa ndogo kwenye shule ya msingi, baada ya mwalimu kuviona akaninyang'anya.
 
Hiki cha "buricheka" nakumbuka kinasomeka" Safari ya Bulicheka" na nilikuwa nacho, ila sijui nimekiweka wapi....nikipata nitawajulisheni
 
Uchumi supermarket ya Nyerere road kulikuwa na duka la Vitabu ambapo nilikuta vitabu kama Hekaya za Abunuwasi, Alfu lela ulela, Adili na nduguze nk.
 
Uchumi supermarket ya Nyerere road kulikuwa na duka la Vitabu ambapo nilikuta vitabu kama Hekaya za Abunuwasi, Alfu lela ulela, Adili na nduguze nk.
Uchumi ilishafungwa kitambo
 
aisee mvipost hapa, tukumbuke enzi, na vijana wajifunze kidogo
 
Licha ya kwamba mimi ni msomaji hodari wa vitabu lakini cha ''Buricheka'' sikuwahi kukisoma , hata cha ''safari za mfalme Guriva'' sikuwahi pia kukiona kama utapata bahati basi naomba unijulishe, labda kitabu cha someni kwa furaha
humo nilikutana na Mfalme Bulicheka na pia niliwahi kusoma kitabu cha Safari za Guliver, kwa hiyo ombi langu kwako ukipata Buricheka na Mfalme Guriva naomba unujilishe,
Guriver's travels nakumbuka nilikisoma form one, kinamsimulia jamaa alisafiri akafika kwenye nyinyi yenye watu wadogo kama vyura kisha akafika kwenye nchi ya jamaa warefu na wakubwa kiasi kwamba akawa anaonekana kama sisimizi tu. Vitoto vya kule kikawa vinamcjezea kwa kumshika kwenye kiganja
 
Back
Top Bottom