B Boro_yank Member Joined Mar 8, 2017 Posts 27 Reaction score 6 Mar 31, 2017 #1 Mwenye display ya Samsung j2 anicheki tufanye biashara
Mwana Ilala JF-Expert Member Joined Jan 29, 2013 Posts 1,286 Reaction score 488 Apr 1, 2017 #2 Natafuta kioo cha mini laptop 10inchi. Ofa yangu ni 20,000/- kama mini lapotop yako imekufa, niuzie hicho kioo chake.
Natafuta kioo cha mini laptop 10inchi. Ofa yangu ni 20,000/- kama mini lapotop yako imekufa, niuzie hicho kioo chake.
Tyrex JF-Expert Member Joined Oct 15, 2012 Posts 2,432 Reaction score 5,271 Apr 1, 2017 #3 Mwana Ilala said: Natafuta kioo cha mini laptop 10inchi. Ofa yangu ni 20,000/- kama mini lapotop yako imekufa, niuzie hicho kioo chake. Click to expand... Hauwez pata kwa 20k
Mwana Ilala said: Natafuta kioo cha mini laptop 10inchi. Ofa yangu ni 20,000/- kama mini lapotop yako imekufa, niuzie hicho kioo chake. Click to expand... Hauwez pata kwa 20k
Dola Iddy Wa Chelsea JF-Expert Member Joined Sep 26, 2014 Posts 2,125 Reaction score 1,535 Apr 1, 2017 #4 Mkuu kasimu kangu tu ka nokia x2-02 nimechange kioo mara 2 kwa elfu 15000 hahaha una masihara.
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,518 Reaction score 108,968 Apr 1, 2017 #5 Kama upo Dar nenda K'koo maeneo ya mitaa ya Aggrey pale karibu na kanisa la KKKT kuna jamaa anaitwa Daudi huwa anauza sana hizo vioo vya simu...
Kama upo Dar nenda K'koo maeneo ya mitaa ya Aggrey pale karibu na kanisa la KKKT kuna jamaa anaitwa Daudi huwa anauza sana hizo vioo vya simu...