Wakuu simu imedondoka na kioo kimepasuka, inawaka kama kawaida lakini siwezi screen yake haipo active hivyo siwezi kufanya chochote iwe ni kupiga simu, kupokea, kusoma WhatsApp etc.
Mwenye nacho tafadhali tuwasiliane.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.