natafuta kijana atakuwa anakaa kwenye kijiwe cha kaka yangu ana duka ila machine ya kuchomea ipo tu haitumiki, kaz ikija basi anafanya tutakubaliana tutavyogawana . Kama yupo interested aje PM
Kijiwe kipo wapi na malipo ni kiasi gani mana kuna watu huwa wana lipa kwa kazi kama dirisha lina bei yake.. Geti kubwa nalo lina bei yake.. Na kama siku hakuna kazi kabisa malipo yana kuwaje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.