brobiz
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 625
- 855
Wadau Habari za mida hii, ni matumaini yangu ni wazima mnaendelea na shuhuli za ujezi wa taifa licha ya changamoto kubwa za korona tulizonazo, moja kwa moja niende kwenye point nimekuwa nikitumia usafiri wa pik sasa kwa muda mrefu imefika mahali nakuwa na hamu Sana ya kutumia usafiri wa matairi manne kigari cha bei nafuu kuhusu swala la kushinda gereji Sio shida kwangu I'm ready to take risk kikubwa tu niwe mtu wa kwanza kwenye ukoo wetu kumiliki ndinga gharama isizid 1.5m niko Tanga


