Riwa
Platinum Member
- Oct 11, 2007
- 2,607
- 3,068
sio ugomvi, ila nilikuwa natafuta sababu ya wewe kumbeza mwenzio sikuiona!
Nilichobeza nini hapo? Nimebold makosa yake...wewe ungekuwa muajiri, ungeajiri mtu ameandika barua ya kuomba kazi kwa level hiyo!? Ana diploma...nimempa za uso next time aandike kitu kinachofanana na mtu mwenye diploma!