Natafuta kazi

Natafuta kazi

seilas

Member
Joined
Jun 30, 2015
Posts
5
Reaction score
0
Jaman mm ni dereva na nimemaliza kidato cha sita,natafuta kazi ya edereva ila sina uzoefu na magari makubwa.Kwa magari madogo nina uzoefu na vilevile naweza kufanya kazi nyingine kama za viwandani.Nina familia na matokeo ya form6 hayako poa na ndo maana nimeshindwa kuendelea miaka5 iliyopita.0687181843
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom