jimmy jay jay
JF-Expert Member
- May 19, 2015
- 223
- 39
Habari zenu wana JF.
Mimi nimesomea mambo ya kusimamia ujenzi wa nyumba na Barabara lakini Kazi hio niliifanya miezi sita tu,halafu nikapata Kazi nyingie ya uwalimu lkn kwa bahati mbaya shule hio badae wakaifunga kwanzia siku hio nikaanza kuhangaika kutafuta Kazi ila sijabahatika.
nikaamua kujiajir nikafungua kibanda cha kuuza Nguo buza kanisani rakini Wateja hamna na Ni nafamilia inaonitegemea mpaka sasa sijui nifanye je! ndio mana naomba kama kuna mtu ana tarifa ya Kazi yoyote anisaidie, Mimi ni mchapa Kazi na ni muanifu.
contact:0719105823
e-mail:jermocart@gmail.com
Mimi nimesomea mambo ya kusimamia ujenzi wa nyumba na Barabara lakini Kazi hio niliifanya miezi sita tu,halafu nikapata Kazi nyingie ya uwalimu lkn kwa bahati mbaya shule hio badae wakaifunga kwanzia siku hio nikaanza kuhangaika kutafuta Kazi ila sijabahatika.
nikaamua kujiajir nikafungua kibanda cha kuuza Nguo buza kanisani rakini Wateja hamna na Ni nafamilia inaonitegemea mpaka sasa sijui nifanye je! ndio mana naomba kama kuna mtu ana tarifa ya Kazi yoyote anisaidie, Mimi ni mchapa Kazi na ni muanifu.
contact:0719105823
e-mail:jermocart@gmail.com