Natafuta kazi

Natafuta kazi

munimuni

Senior Member
Joined
Aug 19, 2014
Posts
110
Reaction score
69
waungwana habari zenu mm nina elimu y kidato cha cta plz naomben mnisaidie niweze kupata kaz maana napata masimango sana hapa nyumbani sina raha kabisa nazidi kukonda tu.Jamani naweza kufanya kaz zozote isipokuwa kazi za ndani plz nisaidieni waungwana
 
Mkuu, kama hutopenda/huna qualification za kujiunga chuo kikuu moja kwa moja; kuna nafasi za Ku apply diploma upewe mkopo na Heslb ukasomee ualimu!

Siku nyingine Uwe unaandika vizuri
 
jamani nataka mpka kujiua nisaidieni npate kazi
 
kaz yoyote icpokuwa kaz za ndan elimu kdato ch cta mimi n ke
 
Toa maelezo umesomea nini, USIJIUE. Mi nilipokuwa katika wakati mgumu kama wako nilikuwaga nakimbilia makanisani, angalau nile kwa Mchungaji...wakawa wananipatia nafasi ya kulala jikoni. Leo nina kazi, nina kwangu, mke ni jamzito na niko mbioni kufungua biashara kubwa. Vitu vinavyoweza kunifanya NIJIUE ni kufungwa JELA MAISHA au kuugua UKIMWI...no advice is welcome on these.
 
miss chaga nimeshaweka Uzi zangu nyingi humu lkn hakuna aliyenisaidia jmn masimango ninayopta nymbn mpka naona nyumb chungu
 
munimuni,kuna mambo unapaswa kuyaweka wazi. Mosi,kwasasa uko wapi? Pili,unahitaji kufanya kazi gani? Tatu,una ujuzi wowote ukiachilia mbali kidato cha sita uwe wa kuusomea au kipaji? Nauliza hivi kwakuwa wanaweza kujitokeza watu kukuwezesha kujiajiri mwenyewe. Nyoosha maelezo yako usaidiwe
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom