Lucy Mbasha
Member
- Jul 14, 2014
- 6
- 1
Mimi ni binti nina miaka 27, nimesomea mambo ya maendeleo ya jamii (community development). Nina diploma ya community development.
Naomba mwenye kuweza kunisaidia kupata hata sehemu ya kujitolea.
Asanteni sana
Naomba mwenye kuweza kunisaidia kupata hata sehemu ya kujitolea.
Asanteni sana