Natafuta kazi

Natafuta kazi

Mimi ni Binti wa miaka 21
nina elimu ya kidato cha nne cheti cha jkt na ujasiriamali pia.
Nina ujuzi wa secretary level 2 nipo mkoa wa Iringa mtaa wa mkwawa
Natafuta kazi reception, secretary ,customer care, duka lolote, au chochote kitachoendana na hiki nilichokiandika asanteni ....
Una Cheti cha JKT kwa nini hujaenda Depo Polisi?? wenzako wameripoti Depo CCP juzi tarehe 2!!na pia nimeona Jeshi la Zimamoto nao wametangaza kazi!! anyway Mkwawa mitaa yangu hiyo,nilisoma Ilala Shule ya Msingi,njoo inbox kama unaweza kazi ya Receptionist Lodge lakini Arusha
 
Una Cheti cha JKT kwa nini hujaenda Depo Polisi?? wenzako wameripoti Depo CCP juzi tarehe 2!!na pia nimeona Jeshi la Zimamoto nao wametangaza kazi!! anyway Mkwawa mitaa yangu hiyo,nilisoma Ilala Shule ya Msingi,njoo inbox kama unaweza kazi ya Receptionist Lodge lakini Arusha
Sawa lakini ukiwa kwenye hiki chombo ndoutaelewa why kote nimeomba na nimeanza kutumia maombi toka 2021 tatizo connection ingekuwa sifa inkupa kazi Kila mtu angekuwa kazini mambo magumu nimeomba kwenye vyombo mbalimbali zaidi ya maratisa ndiomaan nimeona nigeukie upnde mwingine
Asanteh nkuja inbox
 
Sawa lakini ukiwa kwenye hiki chombo ndoutaelewa why kote nimeomba na nimeanza kutumia maombi toka 2021 tatizo connection ingekuwa sifa inkupa kazi Kila mtu angekuwa kazini mambo magumu nimeomba kwenye vyombo mbalimbali zaidi ya maratisa ndiomaan nimeona nigeukie upnde mwingine
Asanteh nkuja inbox
Sijakuina inbox,JKT ulienda Kwa Mujibu(Form 6) au Kujitolea(Form 4)??karibu inbox
 
Habarini Mimi ni Binti wa miaka 21.

Nina certificate ya secretary na cheti cha JKT na ujasiriamali naomba natafuta kazi ya reception au kuuza duka lolote la halali.
Tunahitaji mfanyakazi kwenye kituo cha mafinzo ya ufundi stadi-Moshi Institute of Technology:
Awe na uwezo wa kufundisha English,Secretarial,Enterprenuarship ,communication.,....
Uwezo wa kutimua na muelekeza kweney program za computer nao ni muhimu
Kama upo tayari tuma cv na vyteti vyako kwa email mitcomputingtz@gmail.com au whatsap 0717157640
Kila kitu maelewano na unaaza kazi soon
 
Tuwasilian
Mimi ni Binti wa miaka 21
nina elimu ya kidato cha nne cheti cha jkt na ujasiriamali pia.
Nina ujuzi wa secretary level 2 nipo mkoa wa Iringa mtaa wa mkwawa
Natafuta kazi reception, secretary ,customer care, duka lolote, au chochote kitachoendana na hiki nilichokiandika asanteni ....
e kwa kazi ya kufundisha masomo ya secratary huku moshi kilimanjaro 0717157640
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom