Habari wakuu,natafuta kazi,nimesoma takwimu katika chuo kikuu cha Mzumbe degree ya kwanza,GPA yangu ni second upper class(4.2)
Kivipi mkuu!? Emu dadavua kidogo!!Kazi gani unataka, njoo tufungue ufisi ya uwakala wa miamala ya pesa, and will sign the contract
kama uko tayari na kujiajiri nipm nikupe dili tayari zimefanyiwa researchHabari wakuu,natafuta kazi,nimesoma takwimu katika chuo kikuu cha Mzumbe degree ya kwanza,GPA yangu ni second upper class(4.2)
Acha bangi mkuu hhaaaaaaGPA yote hiyo ya nini??
Maboss wote kwenye maofisi wana 3.0 Sasa wewe na kiherehere chako una 4.2 unadhani watakupa kazi???.. Ili uwanyang'anye ofisi?