Natafuta kazi

Doreen20

Senior Member
Oct 12, 2018
139
76
Rejea kichwa cha habari hapi juu Naitwa Doreen Gabriel Ni muhitimu wa Diploma ya Record/library and Information Studies nina uzoefu wa wa mwaka moja na miez 2kupitia hii kazi katika taasisi fulani, pia nimesomea computer katika chuo cha Open University kwa miez 7 nina uzoefu wa fani ya IT vilevile.Mwenye kampuni,Shule,Chuo,Au hata Wenye uhitaji wa mtu wa Record msisite kunicheki PM au Kwa email yangu gabrieldoreen444@gmail.com.Ahsanteni
 
unaweza kufanya kaz kama typist katika shule?? yan kuchapa mitihan na nyaraka zinginezo mbalmbal?
 
Biashara ipi hiyo
Nguo za kike pamoja viatu vya kike tupo wavulana 2 na wewe utakuwa wa tatu Tunajuwa seemu ya kuchukulia mzigo kariakoo kwa bei sawa na bure. Seemu tuliyo panga kufanyia biashara gongo la mboto. Kama upo tayali uta ni pm ili nikupe maelekezo zaidi
 
Nguo za kike pamoja viatu vya kike tupo wavulana 2 na wewe utakuwa wa tatu Tunajuwa seemu ya kuchukulia mzigo kariakoo kwa bei sawa na bure. Seemu tuliyo panga kufanyia biashara gongo la mboto. Kama upo tayali uta ni pm ili nikupe maelekezo zaidi
Sawa nimekuelewa
 
Rejea kichwa cha habari hapi juu Naitwa Doreen Gabriel Ni muhitimu wa Diploma ya Record/library and Information Studies nina uzoefu wa wa mwaka moja na miez 2kupitia hii kazi katika taasisi fulani, pia nimesomea computer katika chuo cha Open University kwa miez 7 nina uzoefu wa fani ya IT vilevile.Mwenye kampuni,Shule,Chuo,Au hata Wenye uhitaji wa mtu wa Record msisite kunicheki PM au Kwa email yangu gabrieldoreen444@gmail.com.Ahsanteni
Doreen hongera kwa kuhitimu Masomo umehitimu mwaka gani,chuo gani?na unaishi maeneo gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom